Idara ya Habari-MAELEZO
Idara ya Habari-MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Idara ya Habari-MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Dkt. Abbasi Akutana na Kufanya Mazungumzo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO

Posted on: February 21st, 2018

Na Koleta Njelekela, STAMICO

Kaimu Mkurugenzi wa STAMICO Mhandisi John Nayopa amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dakta Hassan Abbasi, ambaye alifika katika Ofisi za Makao Makuu ya STAMICO jijini Dar es Salaam kwa lengo la kufahamia na naye nakuzungumzia namna ya kuimarisha ushirikiano katika upashanaji habari za STAMICO kwa Watanzania.

Viongozi hao walikubaliana kuimarisha ushirikiano katika sualazima la kuelimisha Watanzania kuhusu shughuli za STAMICO kwa kutumia mitandao ya kijaamii (Social Media) ya Idara ya Habari Maelezo, Jarida la Nchi yetu linaloratibiwa na  Idara hiyo na Vyombo vya Habari kwa ujumla.

Aidha Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Dakta Abbasi amesema Idara yake iko tayari kutoa mafunzo kwa Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa STAMICO katika maeneo mbalimbali kulingana na mahitaji yao, ilikuwajengea uwezo zaidi katika taaluma zao.

“ Kulingana na ukuaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Idara yangu inaweza kutoa mafunzo ya kuanzia kwa wataalamu wako kuhusu Sayansi ya Mitandao ya Kijamii na uendeshaji wake; Mawasiliano kwa Umma wakati wa Majanga (Crisis Communication);pamoja na Sera na Miongozo ya matumizi ya Mitandao ya Kijamii” Alifafanua Dakta Abbasi.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Bwana Nayopa amemshukuru Dakta. Abbasi kwa kumtembelea ofisini kwake na ameahidi kuimarisha ushirikiano na Idara ya Habari Maelezo katika kuelimisha Watanzania kuhusu mchango wa STAMICO katika kuleta matokeo chanya kwenye Serikali ya awamu ya tano.

Matangazo

  • Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari May 03, 2023
  • Baraza la Mawaziri April 14, 2023
  • Uzinduzi wa ‘The Royal Tour’ katika Ukumbi wa Guggenheim uliopo Manhattan, Jijini New York nchini Marekani April 19, 2022
  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.

    April 23, 2025
  • The Global Goalkeepers Award

    February 04, 2025
  • Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika

    January 28, 2025
  • Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati

    January 28, 2025
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: S.L.P 677, Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@mawasiliano.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • Maelezo Podcasts (Apple Podcasts)
  • Maelezo Podcasts (Spotify)
  • Maelezo Podcasts (Amazon Music)
  • Tanzania 'THE ROYAL TOUR'
  • Tanzania 'The Royal Tour' AMAZON
  • HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA NAPE MOSES NNAUYE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23
  • Baraza la Mawaziri
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 76 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA (UN) TAREHE 23 SEPTEMBA, 2021 JIJINI NEW YORK, NCHINI MAREKANI
  • NCHI YETU - MIAKA 61 YA UHURU
  • NCHI YETU - Miaka Miwili na Samia
  • Mjadala maalum kuhusu mpango wa uwekezaji katika Bandari zetu!

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community
  • Tovuti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2023 Habari - MAELEZO