Rais Afungua
Benki ya Dunia imeiorodhesha Tanzania katika orodha ya nchi za uchumi wa kipato cha kati.
Hatua hii inajiri miaka mitano kabla ya ruwaza ya maendeleo ya taifa hilo ambapo ilikuwa imelenga kuafikia kiwango hicho kufikia 2025.
Hakimiliki ©2021 Habari MAELEZO. Haki zote zimehifadhiwa.