Idara ya Habari-MAELEZO
Idara ya Habari-MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Idara ya Habari-MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Serikali kutoa suluhu la Mawakala wa Usambazaji wa Muziki katika “Digital Platform”

Posted on: December 2nd, 2020

Na Anitha Jonas – WHUSM, Dar es Salaam

02/12/2020.

 

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali asisitiza kufuatilia suala la usambazaji wa Muziki wa katika "digital platform" kwa kushirikiana na wasanii.

 

Dkt.Abbasi ametoa kauli hiyo Leo jijini Dar es Salaam Salaam alipofanya ziara ya kutembelea Studio ya Konde Gang kwa lengo la kujionea namna wanafanya kazi ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kukutana na makundi mbalimbali Sanaa nchini.

 

Akizungumza katika ziara hiyo Dkt. Abbasi alieleza kusikia kilio cha wasanii wengi cha kutaka kuwa na Tuzo za kitaifa ambazo zitasaidia kuongeza  hamasa  na ubunifu katika uandaaji wa kazi za Sanaa.

 

" Nitahitaji unitumie zile 'digital platform' za usambazaji na uuzaji wa kazi za Muziki ambazo hazina ofisi hapa nchini ili serikali tuweze kuwasiliana na balozi zetu tuone namna tunaweza kupata ofisi hizo hapa zitakazoendeshwa na wazawa ile muweze kunufaika,"alisema Dkt.Abbasi.

 

Naye mmiliki wa Lebo ya Konde Gang na Msanii wa Bongo Fleva Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize aliomba Serikali kupitia taasisi zake za BASATA na Bodi ya Filamu kuandaa mpango wa kuwa na utaratibu wa kutoa elimu ili kuweza kuwa karibu na wasanii badala ya kuwaita wasanii pale tu wanapotaka kufungia kazi zao.

 

Pamoja na Harmonize alifafanua umuhimu wa Serikali kujenga "Arts Arena" nchini sababu itasaidia nchi kupata fursa nyingi za kuendesha matamasha makubwa ya Sanaa yakiwemo ya Afrika, ambayo yatasaidia kukuza uchumi wa Taifa.

 

Kwa upande wa  Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya  Hakimiliki na Hakishiriki Tanzania Doreen Sinare alitoa wito kwa msanii huyo kujisajili kwa kueleza umuhimu wa kulinda kazi zake kwani gharama za usajili ni ndogo kwani wimbo mmoja unasajiliwa kwa sh. Elfu Moja na cheti ni shilingi elfu kumi na pia usajili huo unafanyika kwa njia ya mtandao.

Matangazo

  • Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari May 03, 2023
  • Baraza la Mawaziri April 14, 2023
  • Uzinduzi wa ‘The Royal Tour’ katika Ukumbi wa Guggenheim uliopo Manhattan, Jijini New York nchini Marekani April 19, 2022
  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.

    April 23, 2025
  • The Global Goalkeepers Award

    February 04, 2025
  • Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika

    January 28, 2025
  • Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati

    January 28, 2025
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: S.L.P 677, Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@mawasiliano.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • Maelezo Podcasts (Apple Podcasts)
  • Maelezo Podcasts (Spotify)
  • Maelezo Podcasts (Amazon Music)
  • Tanzania 'THE ROYAL TOUR'
  • Tanzania 'The Royal Tour' AMAZON
  • HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA NAPE MOSES NNAUYE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23
  • Baraza la Mawaziri
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 76 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA (UN) TAREHE 23 SEPTEMBA, 2021 JIJINI NEW YORK, NCHINI MAREKANI
  • NCHI YETU - MIAKA 61 YA UHURU
  • NCHI YETU - Miaka Miwili na Samia
  • Mjadala maalum kuhusu mpango wa uwekezaji katika Bandari zetu!

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community
  • Tovuti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2023 Habari - MAELEZO