• Wasiliana Nasi
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Baruapepe za Watumishi
    • Malalamiko
Idara ya Habari MAELEZO
Idara ya Habari MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Idara ya Habari MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Serikali kutoa suluhu la Mawakala wa Usambazaji wa Muziki katika “Digital Platform”

Posted on: December 2nd, 2020

Na Anitha Jonas – WHUSM, Dar es Salaam

02/12/2020.

 

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali asisitiza kufuatilia suala la usambazaji wa Muziki wa katika "digital platform" kwa kushirikiana na wasanii.

 

Dkt.Abbasi ametoa kauli hiyo Leo jijini Dar es Salaam Salaam alipofanya ziara ya kutembelea Studio ya Konde Gang kwa lengo la kujionea namna wanafanya kazi ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kukutana na makundi mbalimbali Sanaa nchini.

 

Akizungumza katika ziara hiyo Dkt. Abbasi alieleza kusikia kilio cha wasanii wengi cha kutaka kuwa na Tuzo za kitaifa ambazo zitasaidia kuongeza  hamasa  na ubunifu katika uandaaji wa kazi za Sanaa.

 

" Nitahitaji unitumie zile 'digital platform' za usambazaji na uuzaji wa kazi za Muziki ambazo hazina ofisi hapa nchini ili serikali tuweze kuwasiliana na balozi zetu tuone namna tunaweza kupata ofisi hizo hapa zitakazoendeshwa na wazawa ile muweze kunufaika,"alisema Dkt.Abbasi.

 

Naye mmiliki wa Lebo ya Konde Gang na Msanii wa Bongo Fleva Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize aliomba Serikali kupitia taasisi zake za BASATA na Bodi ya Filamu kuandaa mpango wa kuwa na utaratibu wa kutoa elimu ili kuweza kuwa karibu na wasanii badala ya kuwaita wasanii pale tu wanapotaka kufungia kazi zao.

 

Pamoja na Harmonize alifafanua umuhimu wa Serikali kujenga "Arts Arena" nchini sababu itasaidia nchi kupata fursa nyingi za kuendesha matamasha makubwa ya Sanaa yakiwemo ya Afrika, ambayo yatasaidia kukuza uchumi wa Taifa.

 

Kwa upande wa  Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya  Hakimiliki na Hakishiriki Tanzania Doreen Sinare alitoa wito kwa msanii huyo kujisajili kwa kueleza umuhimu wa kulinda kazi zake kwani gharama za usajili ni ndogo kwani wimbo mmoja unasajiliwa kwa sh. Elfu Moja na cheti ni shilingi elfu kumi na pia usajili huo unafanyika kwa njia ya mtandao.

Matangazo

  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Orodha ya Magazeti na Majarida ambayo Hayajahuisha Leseni ya Uchapishaji Serikalini February 05, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Tamasha la Serengeti Music and Arts Festival kufanyika Desemba 16,2020

    December 02, 2020
  • Serikali kutoa suluhu la Mawakala wa Usambazaji wa Muziki katika “Digital Platform”

    December 02, 2020
  • Uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

    November 05, 2020
  • Uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

    November 05, 2020
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: 25 Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@habari.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka 2017/18
  • Tamko la Serikali kuhusu Matumizi ya Picha za Marais Wastaafu katika Sakata la Usafirishaji wa Mchanga wa Madini
  • Hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe akifungua mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Mitaa Tanzania (ALAT)
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • MAELEZO PODCASTS 2020

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2019 GWF. Haki zote zimehifadhiwa.