Idara ya Habari-MAELEZO
Idara ya Habari-MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Idara ya Habari-MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Vitengo

KITENGO CHA HABARI NA HUDUMA ZA PICHA

  • Kazi za sehemu hii
  • Kukusanya, Kuandika na Kusambaza Habari na Taarifa.
  • Kuhifadhi picha za matukio mbalimbali ya Serikali na Maendeleoya wananchi katika maktaba ya picha.
  • Kusimamia utoji wa machapisho mbalimbali likiwemo jarida la nchi yetu, Bango na Kijitabu cha Baraza la Mawaziri pamoja na Gazeti la Ukutani la MAELEZO.
  • Kujibu hoja mbalimbali zinazojitokeza katika vyombo vya Habari.
  • Kuandaa na kusimamia mikutano ya waandishi wa Habari.

KITENGO CHA USAJILI WA MAGAZETI NA URATIBU WA VYOMBO VYA HABARI

  • Kazi za sehemu hii ni;
  • Kusajili magazeti na majarida mbalimbali.
  • Kufuatilia maudhui ya Habari zinazochapishwa kwenye magazeti na majarida.
  • Kutoa vitambulisho kwa wanahabari wa ndani na nje ya Nchi.
  • Kuchapisha kitabu cha anuani za vyombo vya habari(Media Directory)
  • Kuhakiki orodha ya magazeti yaliyosajiliwa pamoja na wahariri wake.

URATIBU WA MAWASILIANO SERIKALINI.

  • Kazi za sehemu hii ni;
  • Kuratibu vitengo vya Habari KATIKA Wizara, Idara, na wakala wa Serikali.
  • Kukusanya na kuhifadhi Habari na picha kutoka vitengo vya Habari Serikalini.
  • Kufuatilia utendaji kazi wa Makampuni na Mashirika ya Habari yaliyo chini ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kama vile TSN na TBC.
  • Kuandaa mwongozo wa maadili ya Maafisa Habari wa Serikali.
  • Kuratibu shughuli za Waambata wa Habari katika Balozi za Tanzania nchi za nje.

Matangazo

  • Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari May 03, 2023
  • Baraza la Mawaziri April 14, 2023
  • Uzinduzi wa ‘The Royal Tour’ katika Ukumbi wa Guggenheim uliopo Manhattan, Jijini New York nchini Marekani April 19, 2022
  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.

    April 23, 2025
  • The Global Goalkeepers Award

    February 04, 2025
  • Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika

    January 28, 2025
  • Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati

    January 28, 2025
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: S.L.P 677, Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@mawasiliano.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • Maelezo Podcasts (Apple Podcasts)
  • Maelezo Podcasts (Spotify)
  • Maelezo Podcasts (Amazon Music)
  • Tanzania 'THE ROYAL TOUR'
  • Tanzania 'The Royal Tour' AMAZON
  • HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA NAPE MOSES NNAUYE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23
  • Baraza la Mawaziri
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 76 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA (UN) TAREHE 23 SEPTEMBA, 2021 JIJINI NEW YORK, NCHINI MAREKANI
  • NCHI YETU - MIAKA 61 YA UHURU
  • NCHI YETU - Miaka Miwili na Samia
  • Mjadala maalum kuhusu mpango wa uwekezaji katika Bandari zetu!

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community
  • Tovuti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2023 Habari - MAELEZO