• Wasiliana Nasi
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Baruapepe za Watumishi
    • Malalamiko
Idara ya Habari MAELEZO
Idara ya Habari MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Idara ya Habari MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Taratibu za leseni

MASHARTI YA UTOAJI LESENI KWA MAGAZETI/MAJARIDA*

  • Cheti cha Usajili wa Kampuni/Taasisi au aina nyingine ya Usajili wa kisheria (Kwa taasisi za Serikali barua kutoka kwa Mtendaji Mkuu);
  • Andiko la mradi wa gazeti/jarida linalojumuisha Dira, Dhima, Será ya Gazeti/Jarida husika, mahali/eneo la kufanyia biashara, wasifu binafsi (CV) na vyeti vya taaluma vya Mhariri na Waandishi;
  • Mfano wa muundo/mwonekano wa gazeti/jarida (dummy); na
  • Malipo ya ada kama yalivyoanishwa katika kanuni (TZS 1,000,000/ [Shilingi Milioni Moja Tu]).

*ZINGATIA: Malipo yote kwa ajili ya usajili yatafanyika katika ofisi za MAELEZO Dar es Salaam au Dodoma. Waombaji pia wanaweza kutumia akaunti na. 2011100094, NMB Bank House, yenye jina “Director of Information Services.”

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia: +255 22 2122771 au baruapepe maelezo@habari.go.tz

 

Matangazo

  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Orodha ya Magazeti na Majarida ambayo Hayajahuisha Leseni ya Uchapishaji Serikalini February 05, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Tamasha la Serengeti Music and Arts Festival kufanyika Desemba 16,2020

    December 02, 2020
  • Serikali kutoa suluhu la Mawakala wa Usambazaji wa Muziki katika “Digital Platform”

    December 02, 2020
  • Uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

    November 05, 2020
  • Uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

    November 05, 2020
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: 25 Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@habari.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka 2017/18
  • Tamko la Serikali kuhusu Matumizi ya Picha za Marais Wastaafu katika Sakata la Usafirishaji wa Mchanga wa Madini
  • Hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe akifungua mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Mitaa Tanzania (ALAT)
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • MAELEZO PODCASTS 2020

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2019 GWF. Haki zote zimehifadhiwa.