Idara ya Habari-MAELEZO
Idara ya Habari-MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Idara ya Habari-MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Mke wa Rais, Mama Janeth Magufuli atoa msaada katika Vituo vya Watoto Yatima

Posted on: June 20th, 2017

Mke wa Rais wa Jamuhuriya Muungano wa Tanzania, Mama Janeth Magufuli ametoa msaada wa futari kwa vituonane vya watoto yatima vilivyopo Jijini Dar es Salaam mahsusi kwa ajili yakipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani.

Mama Magufuli ametoamsaada huo leo Jijini hapa kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingiramagumu vikiwemo vya Newlife, Charambe Islamic Centre, Chakuwama, MwandaliwaYatima Centre, Al Madina Children Home, Alzam Orphanage Centre, Hiari OrphanageCentre pamoja na Ijangozaidia Orphanage Centre. 

Aidha alisema kuwamsaada huo alioutoa umejumuisha Sukari mifuko 100 yenye jumla ya Kilogramu2000, Mchele mifuko 40 yenye jumla ya Kilogramu 2000 pamoja na Tende pakiti 100zenye jumla ya Kilogramu 800.

“Ninayo furaha kuwezakuwasaidia zaidi ya watoto yatima 600 ambao wamenuia kufunga katika mwezi huuMtukufu wa Ramadhani ikiwa ni muendelezo wa huduma za kujitolea kwa jamii kwakuwasaidia watoto wanaoishi katika vituo vya kulelea Watoto yatima”, alisemaMama Magufuli.

Mke huyo wa Raisalifafanua kuwa kituo cha Newlife chenye watoto 121 kimepewa Mchele kilo 363,Sukari Kilo 363 na Tende Kilo 144, Charambe Islamic Centre chenye Watoto 54kimepewa Mchele Kilo 162, Sukari Kilo 162 na Tende Kilo 64, Chakuwama chenyeWatoto 64 kimepewa Mchele Kilo 192, Sukari Kilo 192 na Tende Kilo 64 na AlMadina Children Home chenye Watoto 65 kimepewa Mchele Kilo 195, Sukari Kilo 195na Tende Kilo 64 .

Vituo vingine niMwandaliwa Yatima Centre chenye Watoto 94 kimepewa Mchele Kilo 282, Sukari Kilo282 na Tende Kilo 64, Alzam Orphanage Centre chenye Watoto 51 kimepewa McheleKilo 153, Sukari Kilo 153 na Tende Kilo 64, Hiari Orphanage Centre chenyeWatoto 41 kimepewa Mchele Kilo 123, Sukari Kilo 123 na Tende Kilo 40 pamoja naIjangozaidia Orphanage Centre chenye Watoto 103 kimepewa Mchele Kilo 309,Sukari Kilo 309 na Tende Kilo 104.

Kwa upande wakemwakilishi wa viongozi wa vituo vya kulelea watoto yatima, Mama Kuluthum Jumaalisema kulea watoto yatima si jambo la mtu mmoja au Serikali peke yake hivyoni lazima wananchi wote wajumuike katika kuwasaidia watoto hao kwa hali na maliili wajione kuwa wako sawa na Watoto wengine wanaoishi na wazazi wao.

“Tunamshkuru sana Mkewa Rais, Mama Janeth Magufuli kwani msaada huu alioutoa kwetu sio mdogo nahakuna kitu kikubwa kama kutoa sadaka hivyo natoa rai kwa wananchi tujitahidikuwasaidia na kuwafariji Watoto hawa kwa sababu ni Watoto wa watu wote nahakuna aliyependa kuwa hivyo alivyo,” alisema Mama Kuluthumu.    

Misaada kwa Watotoyatima na wanaoishi katika mazingira magumu ni muendelezo wa huduma zakujitolea kwa Jamii anazofanya Mke wa Rais  ambazo hufanyika kila mwaka.

Mwisho.

 

 

Matangazo

  • Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari May 03, 2023
  • Baraza la Mawaziri April 14, 2023
  • Uzinduzi wa ‘The Royal Tour’ katika Ukumbi wa Guggenheim uliopo Manhattan, Jijini New York nchini Marekani April 19, 2022
  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.

    April 23, 2025
  • The Global Goalkeepers Award

    February 04, 2025
  • Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika

    January 28, 2025
  • Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati

    January 28, 2025
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: S.L.P 677, Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@mawasiliano.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • Maelezo Podcasts (Apple Podcasts)
  • Maelezo Podcasts (Spotify)
  • Maelezo Podcasts (Amazon Music)
  • Tanzania 'THE ROYAL TOUR'
  • Tanzania 'The Royal Tour' AMAZON
  • HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA NAPE MOSES NNAUYE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23
  • Baraza la Mawaziri
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 76 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA (UN) TAREHE 23 SEPTEMBA, 2021 JIJINI NEW YORK, NCHINI MAREKANI
  • NCHI YETU - MIAKA 61 YA UHURU
  • NCHI YETU - Miaka Miwili na Samia
  • Mjadala maalum kuhusu mpango wa uwekezaji katika Bandari zetu!

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community
  • Tovuti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2023 Habari - MAELEZO