Idara ya Habari-MAELEZO
Idara ya Habari-MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Idara ya Habari-MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Tamasha la Serengeti Music and Arts Festival kufanyika Desemba 16,2020

Posted on: December 2nd, 2020

Anitha Jonas – WHUSM, Dar es Salaam
02/12/2020.
 
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi amesema kuwa Serikali itafanya Tamasha la Serengeti Music and Art Festival Desemba 26, 2020 litakalofanyika katika uwanja wa uhuru.
 
Dkt. Abbasi ametoa kauli hiyo Leo Desemba 02, 2020 Jijini Dar es Salaam, katika mkutano na wasanii wa tasnia ya filamu ambapo alisisitiza kuwa siku hiyo itakuwa ni maalum kwa ajili ya kusherekea Sanaa za Tanzania,.
 
Akizungumza katika mkutano huo wenye lengo la kujadili mambo ambayo wanatasnia ya filamu wanahitaji Serikali kufanya ili kusaidia tasnia hiyo kukua na kuendelea sanaa, Dkt. Abbasi alieleza kuwa  Mfuko wa Sanaa na Utamaduni ambao utasaidia kutoa mikopo rahisi kwa wasanii na kutoa elimu, upo tayari na hivi karibuni unatarajia kuanza kazi.
 
" Serikali imesikia kilio chenu cha muda mrefu kuhusu changamoto mbalimbali za kupata maeneo ya kufanyia kazi na inampango wa kujenga eneo ambalo litakuwa na vitu vingi ikiwemo sehemu ya kufanya matamasha ya Sanaa “Arts Arena” na tayari ameshapatikana mtaalamu anayechora ramani ya mradi huo na tunatarajia kujenga kituo cha kisasa,"alisema Dkt.Abbasi.
 
Pamoja na hayo kufuatia malalamiko ya baadhi Wasanii wa Filamu wanawake  juu ya unyanyasaji wa kingono kutoka kwa Waandaji wa Filamu wanaume Dkt.Abbasi ameilekeza Bodi ya Filamu Tanzania kufungua dawati la jinsia kusimamia hilo.
 
Naye Msanii wa Sanaa za Maonesho ya Jukwaani Bw.  Ian Mwaisunga  aliomba Serikali kupunguza ada za tozo kwani wamekuwa wakilazimika  kufanya matamasha ya bure bila kuweka kiingilio kutokana na gharama za tozo pale uwanapoweka kiingilio.
 
Halikadhalika Katibu Mkuu Baraza la Sanaa la Taifa Godfrey Muingereza aliahidi kulifanyia kazi suala la kupunguza tozo hizo katika Kanuni zinazofanyiwa marekebisho hivi sasa.
 
 

 

Matangazo

  • Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari May 03, 2023
  • Baraza la Mawaziri April 14, 2023
  • Uzinduzi wa ‘The Royal Tour’ katika Ukumbi wa Guggenheim uliopo Manhattan, Jijini New York nchini Marekani April 19, 2022
  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisaini nakala 3 za Sheria za Tanzania zilizofanyiwa urekebu kwa mujibu wa kifungu cha 17 cha Sheria ya urekebu wa sheria, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Aprili, 2025.

    April 23, 2025
  • The Global Goalkeepers Award

    February 04, 2025
  • Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika

    January 28, 2025
  • Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati

    January 28, 2025
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: S.L.P 677, Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@mawasiliano.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • Maelezo Podcasts (Apple Podcasts)
  • Maelezo Podcasts (Spotify)
  • Maelezo Podcasts (Amazon Music)
  • Tanzania 'THE ROYAL TOUR'
  • Tanzania 'The Royal Tour' AMAZON
  • HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA NAPE MOSES NNAUYE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23
  • Baraza la Mawaziri
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 76 WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA (UN) TAREHE 23 SEPTEMBA, 2021 JIJINI NEW YORK, NCHINI MAREKANI
  • NCHI YETU - MIAKA 61 YA UHURU
  • NCHI YETU - Miaka Miwili na Samia
  • Mjadala maalum kuhusu mpango wa uwekezaji katika Bandari zetu!

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community
  • Tovuti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2023 Habari - MAELEZO